Hii imetokea sasa hivi maeneo ya Mbezi mwisho (Mbezi ya Ubungo) ktk harakati za kupanua barabara kwa ajili ya magari yaendayo kwa kasi. Katapira lapiga mweleka lenyewe ktk harakati za ujenzi wa barabara! Hakuna aliyepoteza maisha.
Friday, August 31, 2012

Home
Unlabelled
katapila lapiga mweleka kwenye ujenzi wa barabara jijini dar
katapila lapiga mweleka kwenye ujenzi wa barabara jijini dar
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment