HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, August 9, 2012

Duka la bidhaa za watoto lafunguliwa jijini Dar

Mkurugenzi mkuu wa Babyshop,Bw Malcolm Schulz akihojiwa na waandishi wa habari katika uzinduzi wa duka lap jipya lililopo Mlimani City jijini Dar es Salaam
Bw Malcolm Schulz, Mkurugenzi Mkuu wa Babyshop akiangalia matoyi muda mfupi baada ya kufanyika uzinduzi rasmi wa duka hilo.
Wateja wakusubiria nje ya duka la babyshop na watoto wao
Wateja wakisubiria ufunguzi wa duka la Babyshop jijini Dar es Salaam
Wateja wakisubiri kulipia vitu mbalimbali ambayo wamenunua hapo Babyshop
Mteja akiangalia nguo za mtoto wake ndani ya duka la Babyshop.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad