HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, August 13, 2012

BENKI YA CBA YAFUTARISHA WATEJA WAKE JIJINI DAR

Kaimu Afisa Mtendaji wa benki ya CBA Bw Julius Mcharo, akizungumza kwenye hafla ya futari iliyoandaliwa na benki hiyo kwa wateja wake jijini Dar es Salaam juzi.katika futari hiyo Bw Mcharo aliwashukuru wateja wote wa CBA na kusema kuwa benki yake inaungana na jumuia ya waislamu nchini na duniani kote katika kuadhimisha mwezi huu mtukufu Ramadhan na benki ya CBA itahakikisha inaendelea kua benki imara na makini katika kuhakikisha kua kila mteja anapata huduma iliyo kamilifu na kukidhi matakwa yake.Bw Mcharo aliwatakia waislamu wote Ramadhan Karim.
Mkuu wa kitengo cha Makampuni wa benki ya CBA Bi Fatma Abdallah, akizungumza kwenye hafla hiyo ya futari iliyoandaliwa na benki hiyo kwa wateja wake jijini Dar es Salaam juzi.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad