Kuanzia mwaka mpya wa fedha (2012-2013) Mamlaka ya Mapato Tanzania imeanza kusajili magari kwa kutumia majina ikiwa ni nyongeza ya kutumia namba kama ilivyokuwa imezoeleka na wengi. Pichani juu na chini ni gari la kwanza kupewa usajili huo wa kutumia jina la mmiliki wake.Picha na Libeneke la http://wotepamoja.com
Monday, July 16, 2012
Home
Unlabelled
Usajili wa magari kwa kutumia majina waanza TRA
Usajili wa magari kwa kutumia majina waanza TRA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



No comments:
Post a Comment