HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, July 29, 2012

TAASISI YA ALNNA JAH YATAMBULISHWA KWA WAISLAM JIJINI DAR

Sheikh Mkuu wa chuo cha Alnna Jah cha Sheria za kiislam,Fahamu Lubwaza (kulia) akifuturu pamoja na waumini wa Dini ya kiislamu Dar es salaam jana futari hiyo ilikuwa ni moja ya kuitambulisha Taasisi hiyo ya kislamu kwa waislamu kwa ajili ya  kuiunga mkono.
Sheikh Mkuu wa chuo cha Alnna Jah cha Sheria za kiislam,Fahamu Lubwaza (kulia) akiomba dua baada ya kufuturu na waislam wenzake Dar es salaam jana.futari hiyo ilikuwa ni moja ya kuitambulisha Taasisi hiyo ya kislamu kwa waislamu kwa kuiunga mkono
Sheikh Mkuu wa chuo cha Alnna Jah cha Sheria za kiislam Fahamu Lubwaza kulia akifuturu pamoja na waumini wa Dini ya kiislamu Dar es salaam jana futari hiyo ilikuwa ni moja ya kuitambulisha Taasisi hiyo ya kislamu kwa waislamu kwa  na kuiunga mkono

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad