Shimo lililopo kwenye makutano ya Mtaa wa Living Stone na Kipata Kariakoo jijini Dar es Salaam na kufanya raundi abauti isiyo rasmi limekua likisababisha usumbufu kwa madereva wa magari yanayokatiza kwenye makutano hayo kwa zaidi ya mwezi mmoja sasa.
Wednesday, July 25, 2012
Home
Unlabelled
Raundi abauti isiyo Rasmi makutano ya Mtaa wa Living Stone na Kipata Kariakoo jijini Dar
Raundi abauti isiyo Rasmi makutano ya Mtaa wa Living Stone na Kipata Kariakoo jijini Dar
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment