![]() |
| Kibao kinachoonyesha mtaa wa Mwambenja kulia ndiyo mtaa ambao barabara yake imefutika kutokana na takataka na vichuguu vya nyasi vilivyopo mtaani hapo kana kwamba hakukuwa na Mtaa wowote. |
![]() |
| Hii ndiyo barabara ya mtaa huo wa Mwambenja uzunguni jijini Mbeya,ambapo zamani ilikuwa yanapita magari lakini siku hizi hata Bajaj haipiti. |
![]() |
| Hizi ni takataka zinazotupwa mtaani hapo |
![]() |
| Kwa ujumla kipande cha mtaa wa Mwambeja sasa hakina barabara ya uhakika |
kwa mbele huku mambo ndio yako namna hii.Picha na Mbeya Yetu Blog








No comments:
Post a Comment