HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, July 2, 2012

Kilimo Kwanza

 Mzee wa Mtaa kwa Mtaa leo kahamia shambani ambako aliimalizia siku yote ya jumapili kwa kupiga jembe.
 Hapa akipalilia Shamba.
 Kila kazi na namna ya mapumziko yake,na ukiwa Shambani basi pozi la kupumzika ni la namna hii.
 Maandalizi ya Mlo wa Mchana.
 Wakati Msosi ukiendelea kuiva huko jikoni,ni mwendo wa Kukwea Mnazi ili kufua madafu ya kuja kushushia msosi kwa baadae.
 Dafu likifuliwa.
 Linaonjwa kwanza kama liko poa.
 Maembe.
 Safari ya kwenda Dukani kununua Dawa ya Jiko.
Baadae alirudi na akapiga msosi wake na kuendelea na libeneke kama kawa.

1 comment:

Post Bottom Ad