HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, July 31, 2012

BONDIA IBRAHIMU CLASS AJIFUA KWA AJILI YA MPAMBANO WAKE SIKU YA IDDI PILI

Bondia Ibrahimu Class (kulia) akipambana na Whence Haluni 'West Scopion' wakati wa mazoezi yanayoendelea katika kambi ya ilala Dar es salaam.Class anajitarisha na pambano lake na Simba Watundulu litakalofanyika Siku ya Iddi pili katika ukumbi wa Diamond Jublee jijini Dar,Bondia huyo ambaye yupo chini ya Makocha Habbu Kinyogoli pamoja na Rajabu Mhamila 'Super D' anategemea kuonesha ufundi wa ali ya juu katika mchezo wa masumbwi nchini.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad