Malezi ya watoto huanzia katika familia kushoto Mtoto Sharon Mwakifulefule (3) akimkabidhi msaada wa katoni ya juice mmoja wa watoto yatima wanaolelewa katika kituo cha Yatima Trust Fund kilichopo Mbagara Chamanzi jijini Dar es Salaa.Hafla hiyo ilifanyika wakati wa sherehe ya kuadhimisha miaka 3 ya kuzariwa.
Sharon Mwakifulefule akimlisha keki mmoja wa watoto wanaolelewa katika kituo cha Yatima Trust Fund kilichopo Mbagara Chamanzi jijini Dar es Salaa wakati aliposherhekea miaka mitatu ya kuzaliwa, jumla ya vitu mbalinbali vilitolewa ikiwemo magunia mawili ya mchele.
No comments:
Post a Comment