HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, June 26, 2012

KUMBUKUMBU

MR.ATILIO LUSINDE MWANG’INGO

MRS.ATILIO LUSINDE MWANG’INGO

Familia ya  MWANG’INGO na MZENA wa Dar na Iringa.  Wanapenda kutoa taarifa ya Kumbukumbu ya wapendwa wao MR & MRS. ATILIO LUSINDE MWANG’INGO. Kutakuwa na mkesha wa kuwakumbuka Marehemu hao siku ya tarehe 29/06/2012 kuamkia tarehe30/06/2012 nyumbani Mburahati na misa ya kumbukumbu kanisa la Mburahati siku ya Jmosi saa 12 kamili asubuhi na kumalizia kwa chakula cha mchana Nyumbani kwao Mburahati Dar es Salaam.
Bwana ametoa na Bwana ametwaa. Jina la bwana lihimidime. AMEN

IMETOLEWA NA DOROTHY SENG’INGO WA DAR ES SALAAM

1 comment:

Post Bottom Ad