Habari za kazi waungwana, poleni na majukumu ya ujenzi wa Taifa.Napenda kuwatangazia kuwa kuanzia sasa blogu ya mamapipiro kuanzia sasa itajulikana kama http://dinaismail.blogspot.com Ni yangu matumaini mtaendelea kuwa nami katika gurudumu hili la libeneke.Nawatakia kazi njema.
No comments:
Post a Comment