Baadhi ya mashabiki wa soka wa vilabu vya Ligi Kuu ya nchini Uingereza,waliojitokeza kwenye kushiriki shindano la kumsaka shabiki bomba kwenye shindano la Castle lager Super Fan wakiendelea kujitokeza kwa wingi kwenye usajili wa kumpata Super Fan,ulioendelea kufanyika katika maeneo ya Kimara jijini Dar es Salaa.Mshindi wa shindano hilo atakwenda nchini Afrika ya Kusini kushuhudia Fainali za Mataifa ya Afrika.
Thursday, June 21, 2012
Home
Unlabelled
Castle Lager Super Fan aendelea kutafutwa jijini Dar
Castle Lager Super Fan aendelea kutafutwa jijini Dar
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment