HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Thursday, April 12, 2012

Chem Chem ya Nguvu yaibuka Mikocheni leo

Leo katika katiza katiza zangu za Mtaa kwa Mtaa,nikajikuta nimeibukia mitaa hii ya Mikocheni A kwenye njia ya kutokea Drive in kuelekea Maeneo ya Victoria Kijitonyama na kukuta na chem chem (chemba iliyobuma) hii babkubwa iliyoanza mapema leo asubuhi na kulifanya eneo hilo lote kujaa maji yanayotoka kwenye chem chem hiyo.
Chem Chem imechanganya kweli kweli.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad