Rais Jakaya Kikwete akipongezwa leo na Rais Mstaafu wa Marekani Mh George W. Bush kwa sera nzuri za serikali yake kuhusu huduma za afya nchini hasa juhudi zinazofanyika kudhibiti malaria, ukimwi na saratani Ikulu jijini Dar es salaam leo.
Picha na Ikulu
Thursday, December 1, 2011

Home
Unlabelled
Rais Kikwete akifurahia jambo na Rais Mstaafu wa Marekani Mh. George Bush
Rais Kikwete akifurahia jambo na Rais Mstaafu wa Marekani Mh. George Bush
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment