HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, November 12, 2011

ZIARA YA MBUNGE MO JIMBONI KWAKE SINGIDA MJINI

Mbunge wa jimbo la Singida Mjini Mh. Mohammed Dewji Akihutubia waumini wa Msikiti wa Rahman Kindai, katika halfa hiyo MO alichangia mifuko 500 kwa ajili ya kukamilisha ujenzi wa Msikiti huo.
Mbunge wa jimbo la Singida Mjini Mh. Mohammed Dewji akiambatana na vionozi wa kanisa la FPCT kuelekea kwenye uzinduzi wa kituo cha vijana wa kanisa hilo.
Mbunge wa jimbo la Singida Mjini Mh. Mohammed Dewji "MO" akisalimiana na waumini wa kanisa la FPCT wakati wa hafla ya uzinduzi wa kituo cha vijana wa Kanisa hilo.
Askofu mkuu wa kanisa la FPCT Paul Samwel akimkabidhi zawadi ya Mbuzi Mbunge wa jimbo la Singida Mjini Mh. Mohammed Dewji kama shukrani ya kutembelea kanisa hilo.
Mbunge wa jimbo la Singida Mjini Mh. Mohammed Dewji akizindua kituo cha vijana cha kanisa la FPCT eneo la Mwenge mjini Singida, anayeshuhudia na Askofu Mkuu wa kanisa hilo Paul Samwel .
Mh. Mohammed Dewji akijumuika na Vijana wa kanisa la FPCT kucheza kwaya.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad