HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, November 8, 2011

Waziri wa Kazi na Ajira azindua wiki ya Hifadhi ya jamii katika viwanja vya Mnazi mmoja,jijini Dar leo

 Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Akiba kwa Wafanyakazi Serikali (GEPF), Daudi Msangi akipokea cheti cha ushindi kutoka kwa Waziri wa Kazi na Ajira,Mh. Gaudensia Kabaka wakati wa uzinduzi wa wiki ya Hifadhi ya jamii katika viwanja vya Mnazi mmoja,jijini Dar es Salaam.
 Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudensia Kabaka akisoma hotuba wakati wa uzinduzi wa Wiki ya Hifadhi ya Jamii,katika viwanja vya Mnazi mmoja,jijini Dar es Salaam leo.
 Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudensia Kabaka akizindua rasmi Wiki ya Wizara kujitangaza na Uzinduzi wa Wiki ya Hifadhi ya Jamii jijini Dar es Salaam leo.
 Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Akiba kwa Wafanyakazi Serikali (GEPF), Daudi Msangi akimkaribisha Waziri wa Kazi na Ajira Gaudensia Kabaka alipokuwa akiwasiki kwenye Banda la Mfuko wa Akiba kwa Wafanyakazi Serikali kwenye viwanja vya Mnazi mmoja jijini Dar es Salaam leo.
 Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudensia Kabaka akisaini kitabu cha Wageni alipotembelea banda la mfuko wa Akiba kwa Wafanyakazi Serikalini.
 Mrisho Mpoto 'Mjomba' akitumbuiza katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam leo wakati wa uzinduzi wa Wiki ya Wizara kujitangaza na Uzinduzi wa Wiki ya Hifadhi ya Jamii.
 Meneja Masoko wa Mfuko wa Akiba kwa Wafanyakazi Serikalini (GEPF), Aloyce Ntukamazina akitoa maelezo ya jinsi ya kujiunga na mfuko huo kwa wadau waliotembelea banda lao.
Wanafunzi wa darasa la pili katika shule ya msingi Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam wakiangalia mchoro wa daraja la Kigamboni.Picha na Francis Dande wa Globu ya Jamii.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad