HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, November 20, 2011

WAFANYAKAZI WA VODACOM KITENGO CHA MAUZO (TELESALES)WAKIWA TEAM BUILDING BEACH KOMBA

Sehemu ambayo wadau wa vodacom  kitengo cha Mauzo walipofanyia team building ambayo inayojulikana kama beach komba .
Manager wa Vodacom kitengo cha Sales (Telesales) Christina Tungaraza (katikati),akifungua shughuli yenyewe,pamoja na kukaribisha baadhi ya wafanyakazi walio onyesha umahiri wao katika kazi na kuwazawadia zawadi aina ya kamera  ya Samsung yenye dhamani zaidi ya Tsh 300000/=  kila moja
Manager wa Sales (Telesales) katikati akiwa na  Team leader Yasimin Monyoti upande wa kulia na Mwashasha Francis  wakiwa kwenye swimming Pool pamoja akishiriki kwa pamoja michezo ya kuogelea
Wafanyakazi  Baadhi wa Vodacom kitengo Sales(Telesales) wakishiriki kwa pamoja michezo ya kuogelea na baadhi ya michezo mbalimbali iliyo fanyika katika eneo la Beach komba
Katika Picha ya pamoja wana Telesales.Picha na http://fununuhabari.blogspot.com/

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad