
Mshindi
wa kwanza wa shindano la wanamitindo lililojulikana kama 'Uni Fashion
Bash',Respicious Denis (kushoto)kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM)
akipokea zawadi yake ya shilingi laki tano kutoka kwa mwakilishi wa TBL
kanda ya kati John Tesha, baada ya kutangazwa mshindi katika shindano
hilo lililofanyika ukumbi wa Royal Village mjini Dodoma jana.

Baadhi
ya washiriki wa shindano la mitindo lililojulikana kama Uni Fashion
Bash kutoka vyuo mbalimbali vya mjini Dodoma wakicheza wakati wa
utambulisho lililofanyika Royal Village Dodoma jana.

Baadhi
ya washiriki wa shindano la mitindo lililojulikana kwa Uni Fashion Bash
kutoka vyuo mbalimbali vya mjini Dodoma wakicheza wakati wa utambulisho
wa shindano hilo lililofanyika kwenye ukumbi wa Royal Village mjini
Dodoma jana.

Baadhi
ya washiriki wa shindano la ubunifuwa mavazi lililojulikana kwa Uni
Fashion Bash kutoka vyuo mbalimbali vya mjini Dodoma wakitambulishwa
jukwaani wakati wa shindano hilo.

Mshindi
wa kwanza wa ubunifu wa mavazi wa shindano la 'UNI fashion Bash' ,Irene
Rwakatale (kushoto) akipokea akipokea zawadi yake ya shilingi laki saba
kutoka kwa Meneja wa Redds, Victoria baada ya kutangazwa mshindi wa
shindano hilo jana.

Baadhi ya wanafunzi kutoka vyuo malimbali vya mjini Dodoma wakishangilia wakati wa shindano hilo.

Baadhi ya wanafunzi kutoka vyuo malimbali vya mjini Dodoma wakishangilia wakati wa shindano hilo.

Mwanamuziki wa kizazi kipya, Mwana FA, akishambilia jukwaa wakati wa shindano hilo.

Mwana FA, akipagawisha na mmoja wa shabiki wake jukwaani wakati wa onyesho hilo.
No comments:
Post a Comment