HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Tuesday, November 22, 2011

kamera ya mtaa kwa mtaa ndani ya mji wa dodoma

2 comments:

  1. kaka njoo mwanza katika wilaya ya Ilemela kuna sehemu inaitwa kilimahewa, wangu balabala ni mbovu kichizi then hawaikwangui na pesa za mkeka zilisha tolewa ila ndo ivyo? miaka inapita ni kalenda tu. tibua ilo kaka

    ReplyDelete
  2. nice bro, dodoma yetu inakua kwa kila hali, jameni tupande miti tu na kila mtu atakuja dom kututembelea na kutuachia vijisenti (tourism) believe me the future is dom. Dodoma is beautiful, reli ya kati inapita katikati ya mji, matunda yanapatikana soko la dom msimu wo wote ule , selemani masambusa upo ndugu, charles msuya,massawe, babu george,hussein bwenzi mmekwenda wapi? Msomali wa dom

    ReplyDelete

Post Bottom Ad