Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel Tanzania Sam Elangallor (kulia) akimpongeza na kumzawadia zawadi ya ufanyakazi bora Bw Caroline Kakwezi toka Airtel kitengo cha Masoko, zawadi hizo ni vyeti pamoja na vitu vingine vya pongezi maalum za msimu wa pili wa biashara wa Airtel kwa mwaka huu, hafla ya makabidhiano ilifanyika mwishioni mwa wiki, Airtel Tanzania inautaratibu wakupongeza na kutoa zawadi kwa Wafanyakazi wake kila msimu wa mwaka ili kutoa chanagamoto zaidi kwa wafanyakazi kufikia lengo na kufikisha huduma bora kwa wananchi.
Mkurugenzi
Mtendaji wa Airtel Tanzania Sam Elangallor (kulia) akimpongeza na
kumzawadia zawadi ya ufanyakazi bora Bi Mariam Ikoa toka Airtel kitengo
cha Masoko, zawadi hizo ni vyeti pamoja na vitu vingine vya pongezi
maalum za msimu wa pili wa biashara wa Airtel kwa mwaka huu, hafla ya
makabidhiano ilifanyika mwishioni mwa wiki, Airtel Tanzania inautaratibu
wakupongeza na kutoa zawadi kwa Wafanyakazi wake kila msimu wa mwaka
ili kutoa chanagamoto zaidi kwa wafanyakazi kufikia lengo na kufikisha
huduma bora kwa wananchi.
Mkurugenzi
Mtendaji wa Airtel Tanzania Sam Elangallor (kulia) akimpongeza na
kumzawadia zawadi ya ufanyakazi bora Bw Bahati Straton wa mfanyakazi wa
Airtel kitengo cha Airtel Money, zawadi hizo ni pongezi maalum za msimu
wa pili wa biashara wa Airtel kwa mwaka huu zilitolewa mwishioni mwa
wiki wakati wa hafla maalum iliyoandaliwa na Airtel kwaajili ya
wafanyakazi katika vitengo mbalimbali, Airtel Tanzania inautaratibu
wakupongeza na kutoa zawadi kwa Wafanyakazi wake kila msimu wa mwaka ili
kutoa chanagamoto zaidi kwa wafanyakazi kufikia lengo na kufikisha
huduma bora kwa wananchi.
No comments:
Post a Comment