Mtaani kwetu leo nimeona wamepanda maua katikati ya njia ili kuzuia magari yasikanyage bomba la maji lililopasuka,wadau hili limekaaje??
Monday, October 10, 2011

Home
Unlabelled
mtaani kwetu wameamua kupanda maua katikati ya njia
mtaani kwetu wameamua kupanda maua katikati ya njia
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Kama kawa. Maji yana potea, upande mwingine watu wanakosa maji. nani wa kulaumiwa? na wenye magari watajiju!
ReplyDeletePOA
ReplyDeleteUnadhani Muungwana huo kapanda ua!!! Hiyo ni ROAD SIGN kuwa kuna HANDAKI mbele kwa hiyo kuwa makini.
ReplyDelete