Meneja wa kinywaji cha Redds Victoria Kimaro akipongezana na Mwandaaji wa Miss Ilala Jackson Kalikumtima.
Mmoja wa watangazaji wa Clouds FM,Millard Ayo akifanya mahojiano huku pembeni yake akisindikizwa na Meneja wa mawasiliano na habari za mtandao wa kampuni ya Vodacom Tanzania Martina Nkuru.
Meneja wa kinywaji cha Redds akiingia ukumbini kabla ya kujua kuwa mrembo aliyebeba jina la Redds kuwa angeibuka na ushindi wa Miss Tanzania.
No comments:
Post a Comment