HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, June 29, 2011

TANZANIA OPEN FILM FESTIVAL YAZINDULIWA MKOANI TANGA

Meneja wa kinywaji cha Grand Malt bidhaa ya TBL ambao ndiyo wadhamini wakuu wa maonyesho hayo ya filamu Tanzania (Tanzania Open Film Festival),Consolata Adam akizungumwa wakati wa ufunguzi wa Tamasha la Wazi la Filamu Tanzania linaloendelea katika Viwanja vya Tangamano mkoani Tanga.Wengine pichani ni Meya wa Jiji la Tanga,Mstahiki Mzamil Shemdoe (katikati) na kulia  ni Mkurugenzi wa Sofia Production na Mratibu wa Tamasha hilo,Mussa Kissoky.
Meya wa jiji la Tanga,Mstahiki Mzamil Shemdoe (katikati) akizungumza machache wakati wa ufinguzi wa Tamasha la Wazi la Filamu katika Viwanja vya Tangamano,Mkoani Tanga.
Wana wa Ngoma Baikoko wakionyesha umahiri wao wakati wa ufunguzi wa Tamasha la Wazi la Filamu mkoani humo.
Tamasha la wazi la filamu Tanzania: Grand Malt Open Film Festival limezinduliwa rasmi katika viwanja vya Tangamano mjini Tanga,kama inayoonekana katika picha.. Wiki ya maonyesho ya wazi ya Filamu inaendelea mpaka tarehe 3 July. Maonyesho hayo ya Filamu yanafanyika kwa mara ya tatu katika historia yake.

1 comment:

Post Bottom Ad