Cheza Ushinde, Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano,Beatrice Singano Mallya, akikabidhi hundi kwa mshindi Juhudi Mbwana mkazi wa Dar es Salaam aliyeshinda shilingi milioni moja katika promosheni ya kwanjuka sms. Jumla ya washindi watano wanaendelea kujishindia milioni moja kila mmoja na mshindi wa milioni tano kila wiki.
Saturday, June 25, 2011
Home
Unlabelled
MKAZI WA DAR ES SALAAM AJISHINDIA MILIONI MOJA KUTOKA AIRTEL
MKAZI WA DAR ES SALAAM AJISHINDIA MILIONI MOJA KUTOKA AIRTEL
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment