hapo wenyewe wanajiona kama wako beach vilee,tena wanajiona wako juu ya mchanga wa bahari.utawatakaaaaaaa.......
Mungu wangu wasaidie, ujinga ni kitu kibaya. Wazungu wanahangaika ulaya kutafuta madawa ya kuzuia magonjwa ya waafrika! Magonjwa tunayojitakia!
ReplyDeleteYaani hapo hawasikiki wala hawaambiliki,hapo ni mwendo wa vyombo kwa kwenda mbele.
ReplyDeleteAlafu Kuna Kitu cha TOILET kwa mbali kuleee Mmekiona nacho kinachangia maji ya BEACH..... ULEVI NOMAAAA! Fundo moja tu la Ziada watavua nguo waanze ogelea!!!
ReplyDelete