Hiki ndicho chombo akitumiacho Mwanamuziki Mkonge na Mpuliza Mdomo wa Bata Hodari (Saxophone) katika bendi za muziki wa Dansi,Mzee Mafumu Bilal kikiwa kimepaki mitaa flani kama kamera ya Mtaa kwa Mtaa ilivyoweza kukinasa chombo hiki.
Saturday, April 2, 2011
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Yaonekana kama ni moja kati ya pikipiki za sarakasi kule india. Ama mzee mafumu kawa mwana sarakasi ? yawezekana pia ni traffic wa kihindi maana hiyo pikipiki inazana zote.
ReplyDelete