hii ndio hadha ya usafiri kwa wanafunzi wasomano nje kidogo ya jiji la dar,kamera ya Mtaa Kwa Mtaa imekutana na wanafunzi hawa maeneo ya Bunju "B" wakihangaika kusimamisha kila gari lililokuwa likipita katika njia hiyo.
Monday, January 24, 2011
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment