Leo katika pita pita zangu za Mtaa Kwa Mtaa,nilibahatika kukutana na Mh. Dr. Faustine Ndungulile(shoto),Mbunge wa jimbo la Kigamboni ambaye pia ni mdau mkubwa sana wa Mtaa huu.hii ilikuwa ni katika sehemu ya maakuli pale CheifPride.kulia ni Mwanalibeneke MK.
Monday, November 29, 2010
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Hapo naona ilikuwa Poa sana! Ningefurahi siku moja kukutana na hata mmoja katika mkutano huo!
ReplyDelete