Makamu wa Rais Dk. Mohamed Gharib Bilal, akisalimiana na baadhi ya Viongozi wa Mkoa wa Dodoma mara baada ya kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa mjini Dodoma leo kwa ajili ya kukutana na Rais Jakaya Kikwete ikiwa ni maandaliazi ya kuunda Serikali mpya ya awamu ya pili ya uongozi wa Rais Jakaya Kikwete ambapo kesho jina la Waziri Mkuu linatarajiwa kutajwa. Picha na Muhidin Sufiani
No comments:
Post a Comment