Pichani ni Msanii mkongwe katika anga ya muziki wa kibongo na kimataifa kiujumla,si mwingine bali ni Fareed Kubanda a.k.a Fid Q ambaye sasa amekuja na kitu chake kipya kinacokwenda kwa jina la PROPAGANDA. hebu kisikilize kwa kubofua kitufe cha PLAY hapo chini.
No comments:
Post a Comment