HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Sunday, October 24, 2010

watu kibao wajitokeza viwanja vya mnazi mmoja kwenye tamasha la filamu za ulaya

watu wengi walijitokeza leo katika viwanja vya mnazi mmoja kuhudhulia tamasha la filamu za ulaya zinazoendelea kuonyeshwa kwa wiki ya pili sasa.
Qeen Suzy wa twanga pepeta akiongoza safu ya ushambuliaji kwa wanenguaji wa bendi wakati wa tamasha la filamu za ulaya linaloendelea kwa wiki ya pili sasa huku simu za mapumziko ya wiki tamasha hilop hufanyika katika viwanja vya mnazi mmoja jijini Dar.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad