
baadhi ya wanafunzi wakivuka barabara ya Morogoro, katika eneo ya Faya mchana wa leo walipokuwa wakitoka shule.sehemu hii ni ya hatari sana kwa kuvuka watoto hawa maana hakuna kivuko na magari huwa yanapita kwa mwendo kasi kidogo.sasa sijui serikali inalichukuliaje swala hili??
No comments:
Post a Comment