HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, October 4, 2010

haya ndio mambo ya KILI BSS 2010

Mkoko wa maana unaotumiwa na washiriki wa BSS 2010 ukiwa umepaki nje ya mjengo wao uliopo maeneo ya Mikocheni,jijini Dar
Hivi ndivyo lionekanavyo jumba linalotumiwa na washiriki wa Kili Bongo Star Search 2010 chini ya udhamini mkuwa wa kampuni ya bia Tanzania (TBL) kupitia kinywaji chake cha Kilimanjaro Premium Lager, ambapo mpaka sasa washiriki ishirini wapo ndani ya mjengo huu na watakaa mpaka mashindano BSS yatakapo malizika kwa mwaka huu.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad