HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, September 13, 2010

pongezi baada ya kazi nzuri

Mkurugenzi wa Masoko wa Vodacom Tanzania Ephraim Mafuru(kushoto) na Mkurugenzi wa Mahusiano wa wa kampuni hiyo Mwamvita Makamba wakipongezana kwa kazi nzuri mara baada ya shindano la kumtafuta Vodacom Miss Tanzania kuisha, Genevive Emmanuel ndiye aliyeibuka mshindi.nyuma pichani ni Mtangazaji wa Star Tv Muhsin Mambo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad