
Mkurugenzi wa Masoko wa Vodacom Tanzania Ephraim Mafuru(kushoto) na Mkurugenzi wa Mahusiano wa wa kampuni hiyo Mwamvita Makamba wakipongezana kwa kazi nzuri mara baada ya shindano la kumtafuta Vodacom Miss Tanzania kuisha, Genevive Emmanuel ndiye aliyeibuka mshindi.nyuma pichani ni Mtangazaji wa Star Tv Muhsin Mambo.
No comments:
Post a Comment