Mgombea urais kwa tiketi ya Chama Cha Demokrasia na Maendeoe (CHADEMA), Mh. Dk. Willblod Slaa anamtambulisha mgombea ubunge wa Hanang,Bi. Rose Kamili, katika eneo la Endosak wakati wa muendelezo wa kampeni za chama hicho katika mikoa mbali mbali hapa nchini
No comments:
Post a Comment