HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, September 27, 2010

mbio za mashua bahari ya hindi ni burudani ya kutosha



Baadhi ya washiriki wa mbio za mashua za Vodacom Tanzacat wakishindana katika ufukwe wa bahari ya hindi yacht club ambapo zaidi ya boti 60 zilishindana na zaidi ya nchi kumi zilishiriki katika mashindano hayo ya kimataifa mashindano hayo yamefanyika kwa siku nne mfululizo.
Mwenyekiti wa Club ya Yacht Jim Bell(kushoto) akimkabidhi kombe mshindi wa mbio za mashua za Vodacom Tanzacat Blaine Dodds(kulia)wa pili kutoka kushoto ni Mkuu wa Udhamini wa Vodacom Tanzania George Rwehumbiza ,Peter Blaine

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad