
pamoja na kwamba jengo kubwa na la kisasa kabisa la biashara kufunguliwa pale maeneo ya Ilala,jamaa hawa ndio kwaanza hawana hata mshtuko wa kutaka kwenda kuwahi kujichukulia nafasi katika mjengo huo mpya na kuendeleza libeneke lao huku mitaani kama kawa.

hapa ni maeneo ya Morocco,Kinondoni leo mchana.
Yaani hawo wasubiri uchaguzi upite watashangaa wenyewe. Kura zao zinatakiwa tu! hii ni bongo bwana
ReplyDeleteSasa wewe unataka waende wapi? unataka wawe wanatembea mitaani hovyo kama wewe?
ReplyDelete