Kocha atakayeinoa timu ya Taifa ya Netiboli, Simone Macknis (katikati) akiwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Julius Nyerere, Dar es Salaam leo jioni kwa ajili ya kuinoa timu hiyo. Kulia ni Mwenyekiti wa Chama cha Netiboli Tanzania (CHANETA), Anna Bayi.
Wednesday, September 1, 2010

Home
Unlabelled
kocha mpya wa timu ya taifa ya Netiboli awasili nchini leo
kocha mpya wa timu ya taifa ya Netiboli awasili nchini leo
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment