
Kocha wa timu ya Taifa ya Pool,Denis Lungu akiwaelekeza wachezaji wa timu hiyo namna ya kushika fimbo na kupiga mpira wakati wa mazoezi yao yanayoendelea kufanyika katika klabu ya Break Point,kijitonyama.

Kocha Denis Lungu akiwapa maelekezo wachezaji wa timu ya Taifa ya Pool wanaojiandaa na mashindano ya Dunia yanayotarajiwa kufanyika Novemba,8 2010 huko nchini Ufaransa.timu hii ina wachezaji nane (8) ambani ni Felix Atanas,Abuu Shaban,Godfrey Sway,Mohamed Iddy,Omar Akida,Godfrey Muhando,Aliakber Akberal na Arjuan Lavinja.ikiwa chini ya udamini mkubwa wa bia ya Safari Lager.
No comments:
Post a Comment