HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Saturday, August 14, 2010

Mdau Makulilo Jr na Libeneke la Nondozz

Mdau Ernest Makulilo jr. 'Mzee wa Nondozzz'

ALIHANGAIKA kutafuta nafasi za masomo ya elimu ya juu, hatimaye akaja kuipata nafasi hiyo nchini Marekani. Baada ya kufanikiwa, Ernest Makulilo, Mtanzania anayeishi na kusoma nchini Marekani, ameamua kuwasaidia wengine jinsi ya kuomba nafasi za masomo ya juu katika nchi za Ulaya na Marekani ikiwa ni mchango wake kama anavyoeleza katika mahojiano haya na Gazeti la Mwananchi.
Kusoma intavyuu yote ya Mdau
Makulilo Jr

tembelea katika libeneke jipya kabisa la Globu ya Jamii kwa
ku
BOFYA HAPA

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad