hii ndinga nimekutana nayo mchana wa leo katikati ya jiji la Dar ikiwa imeleta noma (kuharibika) huku jamaa wanaofanya kazi katika gari hilo za usafi wa mazingira wakiwa wamekaa juu ya taka hizo zilizomo ndani ya gari hilo huku wakipiga stori za hapa na pale kana kwamba wapo majumbani mwao vile,tena bila hata wasiwasi.
No comments:
Post a Comment