HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Wednesday, August 25, 2010

Hapo ndio ishafika na jamaa hawataki kuteremka

hii ndinga nimekutana nayo mchana wa leo katikati ya jiji la Dar ikiwa imeleta noma (kuharibika) huku jamaa wanaofanya kazi katika gari hilo za usafi wa mazingira wakiwa wamekaa juu ya taka hizo zilizomo ndani ya gari hilo huku wakipiga stori za hapa na pale kana kwamba wapo majumbani mwao vile,tena bila hata wasiwasi.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad