HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, August 27, 2010

dr. bilal akiwa nachingwea

Mgombea mwenza wa nafasi ya urais kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk. Mohamed Gharib Bilal akimnadi mgombea ubunge wa Jimbo la Nachingwea, Mathias Chikawe baada ya kuingia Wilayani Nachingwea.
Wananchi wa Nachingwa wakimsikiliza Mgombea Mwenza wa nafasi ya urais Dk. Mohamed Gharib Bilal alipokuwa akiwahutubia wananchi wa Wilaya ya Nachingwea katika uwanja wa Sokoine leo mchana
Mgombea Mwenza wa urais ,Dk. Gharib Bilal akiongozana na Mgobea Ubunge wa Jimbo la Nachingwea, Mathias Chikawe baada ya kupokelewa mpakani mwa Wilaya ya Liwale na Nachingwea wakati wa zaiara yake ya kunadi ilani ya Chama cha Mapinduzi katika kampeni za kukiombea kura Chama hicho katika uchaguzi mkuu ujao unaotarajia kufanyika Oktoba 31 mwaka huu.
Mohamed Gharib Bilal, akipokelewa na Diwani wa Viti maalum, Asina Lutumbo na Mwenyekiti mstaafu wa UWT, Anna Abdalah, baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Sokoine wilayani Nachingwea alipofika kufanya mkutano wa kampeni leo

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad