HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, July 23, 2010

Flora Martin anyakua taji la Miss Higher Learning 2010

Miss Vodacom Higher Learning 2010,Frola Martin akipunga mkono mara baada ya kutangazwa mshindi katika shindano hilo
Miss Vodacom Higher Learning 2010,Frola Martin akipunga mkono mara baada ya kutangazwa mshindi katika shindano hilo lililofanyika usiku huu katika viwanja vya Karimjee jijini Dar es salaam, pili kulia ni mshindi wa pili Pendo Sam na pili kushoto ni Rachel Filbert mshindi wa tatu,kulia ni mshindi wa nne, Judith Osima na kushoto ni mshindi wa tano,Rahma Swai.
Tano Bora
washiriki wote wakiwa wamejipanga kabla ya mchujo wa tano bora
warembo wakionyesha shoo yao
Mangwer akifanya vitu vyake katika kusherehesha shindanano hilo lililomalizika usiku huu katika viwanja vya Karimjee,jijini Dar.
Quick Raca na Suma Lee wakionyesha vitu vyao jukwaani.
Majaji wakifuatilia kwa makini mtanange,kulia ni Anko Hashim Lundenga (kati) ni Jokate Mwegelo na Anko Bosco Majaliwa.
Francisca na Florance nao walikuwepo kufuatilia shindano hilo.
Rashid na Silas
Kamati ya Miss Tanzania ikifuatilia shindano hilo.
Wadau wa Vodacom
Warembo kibao walitia timu katika viwanja vya Karimjee kushuhudia mtanange huo ambao ulikuwa ni mkali na wakuvutia sana.
wadau wakifurahia mara baada ya kupatikana kwa mshindi wa shindano hilo.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad