kulingana na hali ya hewa ya jiji kwa sasa kuwa ni ya mvua mvua za mara kwa mara,Mgambo wa jiji waamua kufanya biashara ya kuuza miamvuli kwa wakazi wa jiji.sasa sijui hii biashara ni ya kwao wenyewe au wameagizwa na mabosi wao??
No comments:
Post a Comment