
Wafanyakazi wa Muhimbili wakiwa katika maandamano ya Mei 1 kuelekea uwanja wa Uhuru ambapo ndiko zilikofanyika sherehe za sikukuu hiyo.

Wafanyakazi wa SwissPort wakiwa katika maandamano hayo

Maandamano yakiendelea kuelekea Uwanja wa Uhuru.

Baadhi ya wafanyakazi toka sekta mbali mbali wakiwa ndani ya uwanja wa Uhuru katika sherehe za sikukuu ya wafanyakazi iliyoadhishwa leo duniani kote.(Picha na
Father Kidevu Blog)
No comments:
Post a Comment