HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, May 14, 2010

Barabara Ya Nyerere Rodi Kuelekea Tazara Wakati Wa Jioni

ukizubaa tu unapigwa fosi kingi na mtu anaendelea na taimu zake.
ni mwendo wa njia tatu,kuanzia banda la ngozi mpaka tazara.sasa jiulize hiyo njia ya tatu inatokea wapi kwa umbali huo.
wengine wenye haraka zao ndio waleeee wanachana zao.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad