HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Friday, April 30, 2010

Mafuriko Jangwani

Kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha hapa jiji Dar,limesababisha eneo la Jangwani kujaa maji na kuwafanya wakazi wa eneo hilo kutoweza kushi tena katika eneo hilo kwa kipindi hiki cha mvua bila ridhaa yao.maana hakuendeki na wala hakufikiki katika hizo nyumba zao kwani ni maji mtindo mmoja,kuanzia chumbani,sitingi rum mpaka barazani.
(picha kwa hisani ya Glober Publisher.)

1 comment:

  1. hiyo ya udongo kweli ni jangwani?....duh bongo tambarale.sijui kama wakazi wa magomeni walinusurika.

    ReplyDelete

Post Bottom Ad