HABARI MPYA

Home Top Ad

Post Top Ad

Monday, April 12, 2010

Kampuni ya Open Sanit Mwendo Mdundo

geti kuu la kuingilia
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Open Sanit,Bw. Octavian Mshiu akiwa ofisini kwake.Open Sanit ni kampuni inayojishughulisha na mambo mbali mbali kama yaonekanavyo katika picha za hapo chini.
Msimamizi wa Fedha wa kampuni ya Open Sanit,Bw. Adelard Leodger akiwa na mkuu wa kitengo cha Printing katika kampuni hiyo,Bw. Sasu Charles.
Dada Anastasia Kilonfa akiendeleza libeneke lake
Dada Anastasia akipanga panga bidhaabaadhi ya uniform zinatengenezwa na kampuni ya Open Sanit Co. Ltd iliopo Mandela road jirani kabisa na AutoMech iliopo kule maeneo ya Tabata.
viatu
fundi mkuu wa kutengeneza mabegi na maturubai
fundi mkuu katika kitengo cha viatu,Bw. Bakari Almas akiwa katika harakati ya kuunda viatu
viatu vikiandaliwa
sehemu ya Printing ikiongozwa na Bw. Sasu
sehemu ya ushonaji wa uniform za aina mbali mbali
baadhi ya uniform ambazo tayari zimeshashonwa,zikisubiri kunyooshwa na kupangwa sehemu husika
njia kuu ya kuingilia Open Sanit Co.Ltd iliopo maeneo ya Tabata,ubavuni mwa barabara ya Mandela Road,jirani kabisa na AutoMech.ipo mkono wa kushoto kama unatokea Ubungo kuelekea Buguruni na mkono wako wa kulia kama ukitokea Buguruni kuelekea Ubungo.
eneo jipya ambalo kampuni ya Open Sanit inalijenga kwa ajili ya mradi mpya wa uzalishaji wa Mtama ambalo liko huko humo ndani ya jengo la kampuni ya Open Sanit. unaweza kuwacheki kwa mawasiliano yao kama ifuatavyo:-. simu namba ya meza +255 22 2807122 simu mkononi +255 713 6085 41/+255 713 334462 barua pepe opensanit@opensanit.com opensanit@hotmail.com tovuti: www.opensanit.com

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad