hapo ni home kwetu kabisa..yani dah i miss it..,magomeni hospitali kituo cha daladala..karibu na kota na wilayani..ukivuka barabara unaiona garden ukilipita kanisa unakutana na barabara ya mlandizi kuelekea sinza na ukinyoosha unaelekea kinondoni mkwajuni...i miss it
migo migo hapo umepiga ukiwa kituo cha basi kanisa la rs kwambele
ReplyDeleteHiyo ni Magomeni Hospital kuelekea Morocco Hotel! Mitaa yako ya kujidai!
ReplyDeleteKwa mheshimiwa Kakobe
ReplyDeleteHAPO NI MAGOMENI KANISANI MBELE YA MAGOMENI HOSPITAL KAMA UNAENDA MKWANJANI-KINONDONI
ReplyDeletehapo ni home kwetu kabisa..yani dah i miss it..,magomeni hospitali kituo cha daladala..karibu na kota na wilayani..ukivuka barabara unaiona garden ukilipita kanisa unakutana na barabara ya mlandizi kuelekea sinza na ukinyoosha unaelekea kinondoni mkwajuni...i miss it
ReplyDelete